Synopsis
Listen to interviews, features and community stories from the SBS Radio Swahili program, including news from Australia and around the world. - Sikiza mahojiano, makala na hadithi za jumuiya kutoka Idhaa ya Kiswahili ya SBS Radio, ikijumuisha taarifa za habari kutoka Australia na ulimwenguni.
Episodes
-
Yaliyojiri Afrika:Nini kipya mwaka 2026?
05/01/2026 Duration: 08minKwa taarifa zaidi elekea katika mitandao yetu ya kijamii au pia tovuti yetu sbs.com.au/swahili.
-
Yaliyojiri Afrika:Ukosefu wa maji wawaathiri wakaazi wa Tanzania
05/01/2026 Duration: 08minKwa taarifa zaidi elekea katika mitandao yetu ya kijamii au pia tovuti yetu sbs.com.au/swahili.
-
Yaliyojiri Afrika:Waasi wa M-23 kujiondoa ili kusaidia juhudi za amani Congo
05/01/2026 Duration: 08minKwa taarifa zaidi elekea katika mitandao yetu ya kijamii au pia tovuti yetu sbs.com.au/swahili.
-
Yaliyojiri Afrika:Burundi kuanza kusafirisha madini nje ya nchi ili kuimarisha uchumi
05/01/2026 Duration: 08minKwa taarifa zaidi elekea katika mitandao yetu ya kijamii au pia tovuti yetu sbs.com.au/swahili.
-
Yaliyojiri Afrika:Wanafunzi 300 waachiliwa baada ya kutekwa nyara shuleni Nigeria
05/01/2026 Duration: 08minKwa taarifa zaidi elekea katika mitandao yetu ya kijamii au pia tovuti yetu sbs.com.au/swahili.
-
Yaliyojiri Afrika:Hatua ya Israel kuitambua Somali Land yazua utata
05/01/2026 Duration: 06minMwanahabari Jason Nyakundi atujuza yaliyojiri Afrika. Kwa maelezo zaidi elekea kwa mitandao yetu ya kijamii au tovuti yetu sbs.com.au/swahili
-
Makala leo:YWCA yapewa sifa kwa kuwasaidia wanawake Sydney
05/01/2026 Duration: 04minKukusanya fedha ili kupunguza makazi duni miongoni mwa wanawake ndiyo lengo la hoteli moja mjini Sydney, moja kati ya biashara elfu kumi na mbili ya kijamii nchini Australia zinazochanganya faida na lengo. Likizo za kiangazi ni wakati wenye mafanikio kwa maeneo mengi ya utalii. Lakini hoteli ya Song mjini Sydney inazingatia zaidi ya kutengeneza pesa. Inasaidia miradi ya makazi ya YWCA kwa wanawake wanaohitaji msaada. Meneja Mkuu Jon Ackary anaeleza.
-
Makala leo:China yaongeza ushuru kwa bidhaa za nyama ya ng'ombe
05/01/2026 Duration: 05minBiashara ya nyama ya ng'ombe ya dola bilioni ya Australia inakabiliwa na mabadiliko makubwa kutokana na hatua ya China kuweka ushuru wa asilimia Hamsini na tano kwa uingizaji wa bidhaa zinazozidi vikomo vya kila mwaka vilivyowekwa kwa ukali. Wakati serikali ya China inadai kuwa hatua hiyo inalenga kuwalinda wakulima wake dhidi ya usambazaji usiokuwa na kipimo, viongozi wa sekta ya Australia na Upinzani Mkuu wanatoa onyo kuwa nyongeza hii ya ushuru inakiuka makubaliano ya biashara huru baina ya Australia na Chini ya muda mrefu.
-
Taarifa ya habari:Marekani yavamia Venezuela na kumkamata rais Maduro na mkewe
05/01/2026 Duration: 09minRais wa Marekani Donald Trump ameamuru shambulio kubwa dhidi ya Venezuela kuwakamata Rais wa Venezuela Nicolás Maduro na mke wake. Wametuhumiwa na makosa ya dawa za kulevya na silaha huko New York. Hatua hiyo imepongezwa na washirika wa Bw. Trump, lakini imelaaniwa sana na mataifa mengi.
-
Tukio la risasi Sydney:wengi wauawa akiwemo mtoto mmoja, huku wengine wakijeruhiwa.
15/12/2025 Duration: 10minPolisi wametangaza shambulio la risasi nyingi huko Bondi Beach Jumapili kama shambulio la kigaidi, baada ya wanaume wawili kufyatua risasi kwa mamia ya watu waliokusanyika kwa ajili ya sherehe ya Hanukkah. Watu wasiopungua 16 wameuawa, pamoja na mtoto, katika shambulio la risasi nyingi lililosababisha vifo vingi zaidi nchini Australia tangu mauaji ya Port Arthur ya mwaka 1996. Tukio hilo limezua shutuma za kimataifa, limeongeza usalama kwenye maeneo ya Kiyahudi, limeleta hofu miongoni mwa jamii na kuzusha tena wito kutoka kwa viongozi kukemea chuki na kusimama pamoja kwa mshikamano na jamii ya Kiyahudi.
-
Waaustralia wakabiliwa na wastani wa kusubiri miaka mitano kwa teknolojia za matibabu zinazookoa maisha
11/12/2025 Duration: 07minRipoti mpya ya kitaifa imegundua kuwa Waasutralia wanakabiliwa na wastani wa kusubiri miaka mitano kwa teknolojia za matibabu zinazookoa maisha. Ripoti inasema kuwa ingawa teknolojia za matibabu zinakua kwa kasi nje ya nchi, mfumo wa Australia bado uko polepole katika kupitisha na kufadhili teknolojia hizo mpya.
-
Matokeo ya Cronulla 2005 yakumbukwa kwa hisia mchanganyiko
11/12/2025 Duration: 08minMiaka ishirini iliyopita, maelfu walikusanyika kwenye kitongoji cha pwani cha Cronulla huko Sydney, kwa kile kilichogeuka kuwa mkutano wa vurugu dhidi ya uhamiaji kutoka Mashariki ya Kati. Leo hii, wakazi wa Cronulla na baadhi ya Waaustralia wenye asili ya Mashariki ya Kati wanasema mitazamo inabadilika. Lakini wengine wanahofia kuhusu harakati mpya zaidi zilizo na mpangilio wa kupinga uhamiaji.
-
Wataalamu waonya kuwa msimu wa moto umeanza tunapotarajia joto kuongezeka
11/12/2025 Duration: 08minKatika wiki za hivi karibuni, moto wa nyika umesababisha uharibifu wa nyumba na mali katika maeneo ya pwani ya katikati ya kaskazini ya New South Wales, Geraldton huko Magharibi mwa Australia na mashariki mwa Tasmania. Wataalamu wanaonya kuwa huu ni mwanzo tu wa msimu wa moto na nyinyi ambao mnasafiri kwa ajili ya likizo mnahitaji kuwa na ufahamu na maandalizi mkiwa mbali na nyumbani.
-
Baraza la usalama wa chakula latoa vidokezo jinsi ya kuandaa vyakula kwa usalama ili kuepukana na magonjwa
11/12/2025 Duration: 06minKuna mambo mengi ya kushughulikia wakati huu wa mwaka, na milo yetu inaweza kuja na upande wa magonjwa. Baraza la Habari za Usalama wa Chakula la Australia limetoa vidokezo vyake bora jinsi ya kufurahia msimu kwa usalama - kwa lengo la kupunguza zaidi ya kesi milioni nne na laki tano za sumu ya chakula kila mwaka.
-
Taarifa ya habari:serikali ya Australia yaomba msamaha rasmi kwa watu wa mataifa ya kwanza leo
09/12/2025 Duration: 09minBaadhi ya habari zinazojumuisha taarifa yetu leo, *Victoria inatarajiwa kutoa msamaha kwa watu wa mataifa ya kwanza leo *Serikali ya Northern territory imepinga ziara ya umoja wa mataifa *Australia na marekani waanza mazungumzo kuhusu usalama na pia AUKUS *idadi ya vifo vinaendelea kuongezeka sudan baada ya mashambulio wiki iliyopita Kwa habari na maelezo zaidi tembelea tovuti yetu kwa sbs.com.au/swahili.
-
Yaliyojiri Afrika:mapigano kati ya waasi wa M-23 na jeshi la DRC yaendelea
08/12/2025 Duration: 08minJason Nyakundi anatujuza kinachoendelea Afrika. Kwa maelezo zaidi elekea kwa tovuti yetu ya sbs.com.au/swahili.
-
Wauzaji wajiandaa kwa ongezeko la wizi madukani msimu wa sherehe unapokaribia
08/12/2025 Duration: 05minKadri msimu wa ununuzi wa sherehe unapoanza, wauzaji wanajiandaa kwa ongezeko la wizi madukani. Nchini Australia kote, wizi umefikia kiwango cha juu zaidi katika miaka 21. Wataalamu wanasema kuwa ni sehemu ya mwelekeo mpana zaidi.
-
Australia kupiga marufuku mitandao ya jamii kwa walio chini ya umri 16
08/12/2025 Duration: 08minKuanzia Jumatano wiki hii, Australia itakuwa nchi ya kwanza duniani kupiga marufuku watu walio chini ya umri wa miaka 16 kuwa na akaunti za mitandao ya kijamii, na kusababisha majukwaa makuu kufuata sheria hiyo au kukabiliwa na faini ya hadi dola milioni 50. Serikali ya Albanese inasema hatua hiyo inalenga kuwalinda vijana dhidi ya athari mbaya za mtandao na athari hasi za afya ya akili. Wazazi wengi wanaunga mkono mabadiliko haya, ilhali wakosoaji wanaonya kwamba vijana wenye ufahamu mzuri wa teknolojia wanaweza kupata mbinu za kuzunguka hatua hizi.
-
Taarifa ya habari:Keir Starmer amlaumu Vladimir Putin kwa kifo cha mwanamke mwaka 2018
05/12/2025 Duration: 10minKwa taarifa zaidi tunakuelekeza katika tovuti ya sbs.com.au/swahili.
-
Yaliyojiri Afrika:Rwanda na DRC wamesaini makubaliano ya amani
05/12/2025 Duration: 09minJaon Nyakundi anatujuza kinachoendelea Africa.