Sbs Swahili - Sbs Swahili
Makala leo: Wairani-Waaustralia waomba demokrasia baada ya mashambulizi ya Marekani na Israeli
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 0:11:14
- More information
Informações:
Synopsis
Wairani-Waaustralia wanaelezea hisia mseto kuhusu mashambulizi ya Marekani na Israel nchini Iran, pamoja na mauaji ya Kiongozi Mkuu Ayatollah Ali Khamenei.