Synopsis
Listen to interviews, features and community stories from the SBS Radio Swahili program, including news from Australia and around the world. - Sikiza mahojiano, makala na hadithi za jumuiya kutoka Idhaa ya Kiswahili ya SBS Radio, ikijumuisha taarifa za habari kutoka Australia na ulimwenguni.
Episodes
-
Taarifa ya Habari 5 Disemba 2023
05/12/2023 Duration: 14minSerikali ya shirikisho inatarajiwa kuwasilisha mageuzi ya muswada wiki hii, kwa ajili yaku kabiliana na utata ambao ume ibuka baada ya uamuzi wa mahakama kuu ambayo ili toa hukumu kuwa kifungo ndani ya vizuizi vya uhamiaji ni kinyume ya sheria.
-
Bw Ary "tunataka onesha utamaduni na mchango wetu katika jumuiya ya Australia"
05/12/2023 Duration: 10minWana jumuiya yawa Tanzania wanao ishi mjini Melbourne, Victoria wanajiandaa kushiriki katika sherehe kubwa ya uhuru wa taifa lao pendwa.
-
Taarifa ya Habari 4 Disemba 2023
05/12/2023 Duration: 06minKiongozi wa upinzani Peter Dutton amelaani anacho elezea kuwa ongezeko la mashambulizi dhidi ya wayahudi nchini Australia, tangu mwanzo wa mapigano mapya kati ya Israel na Hamas.
-
Hezron "watu wengi wamepata makaazi, ajira na huduma nyingi kupitia Kokwet"
05/12/2023 Duration: 06minViongozi wa jumuiya ya Kokwet wali wa andalia wanachama wao hafla maalum, ambako walichangia vyakula, walifanya maonesho ya mitindo nakumaliza sherehe kwa miziki ya asili yao.
-
Taarifa ya Habari 1 Disemba 2023
01/12/2023 Duration: 18minViongozi wakisiasa wame waomba wa Australia waungane na waoneshe huruma hapa nyumbani, wakati mivutano inaendelea kuongezeka kwa sababu ya hali inayo endelea katika ukanda wa mashariki ya kati.
-
Brian "nita ongeza juhudi kusaidia jumuiya yangu katika kila hali"
01/12/2023 Duration: 04minShirika la Kokwet lili andaa mashindano ya wanamitindo mjini Sydney siku chache zilizo pita.
-
Taarifa ya Habari 30 Novemba 2023
01/12/2023 Duration: 06minMaafisa wa Australia wana endelea kuwasaidia watu 67 wanao taka ondoka Gaza ila, wanasema hali huko ni mbaya katika siku ya mwisho ya kusitishwa kwa muda kwa vita.
-
Australia ya Elezewa: Unawezaje tupa nguo ambazo hautaki nchini Australia?
01/12/2023 Duration: 12minJe unajua wa Australia hutupa zaidi ya tani 200,000 ya nguo kila mwaka?
-
Taarifa ya Habari 28 Novemba 2023
28/11/2023 Duration: 18minUpinzani wa shirikisho unaendelea kuikosoa serikali baada ya hukumu ya mahakama kuu, kuamuru kuwa kuweka watu ndani ya vizuizi vya uhamiaji kwa muda usiojulikana nchini Australia ni kinyume cha sheria.
-
Australia ya elezewa: Wazazi wanaweza msaidiaje mtoto kupona kiwewe?
28/11/2023 Duration: 12minIkiwa mtoto wako amepata kiwewe ng'ambo au nchini Australia, ikiwa ilifanyika hivi karibuni au katika siku za nyuma, pakiwa msaada unao faa, mtoto anaweza pona.
-
Taarifa ya Habari 27 Novemba 2023
27/11/2023 Duration: 06minMateka 17 wa Israel wame achiwa huru na wafungwa 39 waki Palestina nao pia wame achiwa huru katika siku ya tatu ya kusitishwa kwa vita kati ya Israel na Hamas.
-
Unahudhuria au ni mwenyeji wa sherehe yaki Australia? Haya ndiyo unahitaji jua
27/11/2023 Duration: 10minHakuna uhaba wa matukio yaku sherehekewa nchini Australia.
-
Tim "tuna endelea kutumia mbinu tofauti kuwafunza watoto wetu tamaduni zetu"
27/11/2023 Duration: 09minWanajumuia wa Mulembe wanao ishi mjini Melbourne, wali wakilishwa kwa fahari nakupokewa vyema katika tamasha ya African Music Festival 2023 mjini Melbourne, Victoria.
-
Taarifa ya Habari 24 Novemba 2023
24/11/2023 Duration: 19minWaziri Mkuu amesisitiza kuwa serikali yake inafanya iwezavyo kupunguza mfumuko wa bei, na kiongozi wa benki kuu ana amini inaendelea kutokea ndani.
-
Somalia yatengeza historia katika fainali ya kombe la Afrika Kusini Australia
24/11/2023 Duration: 06minTimu ya Somalia, imekuwa ikishiriki katika michuano ya kombe la Afrika la Kusini Australia bila mafanikio makubwa.
-
Yemba Fashion "nimezaliwa namapenzi yakuvaa vizuri, na tofauti na wengine"
23/11/2023 Duration: 13minWanaume wengi kutoka DR Congo wanajulikana kwa mavazi yao yanayo vutia.
-
Taarifa ya Habari 21 Novemba 2023
21/11/2023 Duration: 21minTakwimu mpya zina dokeza kuwa vijana nchini Australia wana punguza matumizi yao zaidi kuliko vikundi vingine, na wanapunguza pia matumizi kwa vitu muhimu.
-
Melbourne yapata kionjo cha Mwomboko
18/11/2023 Duration: 11minWakaaji wa mji wa Melbourne wanatazamia kushuhudia maonesho yakitamaduni ya miziki kutoka bara la Afrika kuanzia Ijumaa 17 Novemba hadi Jumapili 20 Novemba 2023.
-
Taarifa ya Habari 17 Novemba 2023
17/11/2023 Duration: 19minWaziri Mkuu Athony Albanese ashiriki katika mkutano wa APEC ambako mabadiliko ya hali ya hewa na nishati mbadala ni miongoni mwa mada za majadiliano.
-
Taarifa ya Habari 14 Novemba 2023
14/11/2023 Duration: 18minSerikali ya shirikisho imesema inapanga kufanya mfumo wa ustawi wa Australia kuwa waki "utu" zaidi, baada ya ripoti mhimu ya tume yakifalme kwa mfumo wa Robodebt kutolewa.