Sbs Swahili - Sbs Swahili
Taarifa ya Habari: Serikali ya Australia na Singapore kutia saini makubaliano mapya ya usambazaji wa mafuta
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 0:13:11
- More information
Informações:
Synopsis
Waziri Mkuu Anthony Albanese anasema uhusiano kati ya Australia na Singapore ni muhimu zaidi kuliko hapo awali, nchi hizo mbili zikijiandaa kusaini makubaliano mapya ya mafuta.