Sbs Swahili - Sbs Swahili
Taarifa ya Habari: Serikali yachukua hatua yakupunguza bei ya mafuta nchini baada ya siku kadhaa za shinikizo
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 0:13:35
- More information
Informações:
Synopsis
Waziri Mkuu amesema serikali yake imechukua hatua ya kupunguza bei ya mafuta kote nchini, kwa sababu hata kama vita vitaisha mara moja, madhara ya kiuchumi yataendelea.