Sbs Swahili - Sbs Swahili
Taarifa ya Habari:Wakazi wa Kusini Australia wa elekea debeni, je kutakuwa mabadiliko ya serikali?
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 0:12:58
- More information
Informações:
Synopsis
Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema usambazaji wa mafuta nchini Australia uko salama, lakini anataka Australia iwe tayari kupita kiasi linapokuja suala la kudhibiti uhaba wa mafuta nchini humu.